2 Kings 18:12

12 aHili lilitokea kwa sababu hawakumtii Bwana Mwenyezi Mungu wao, lakini walikuwa wamevunja agano lake, yale yote ambayo Musa mtumishi wa Bwana aliwaamuru. Hawakuzisikiliza amri wala kuzitimiza.

Copyright information for SwhKC